Home > Terms > Swahili (SW) > lugha geni

lugha geni

lugha geni ni lugha ya nje isiyopatikana katika nchi fulani. pia ni lugha isiyozungumzwa katika nchi asili ya mtu anayerejelewa, hivi kwamba mtu anayezungumza kizungu na anaishi ujapani anaweza sema kuwa kijapani ni lugha geni kwake. ingawaje sifa hizi mbili hazitoi maelezo kamili, hata hivyo, kubandikwa huku saa zingine hutumika kwa njia zinazopotosha usahihi wa maana.

0
Pievienot sadaļai Mana vārdnīca

Ko vēlaties pateikt?

Lai pievienotu komentāru, jums ir jāpiesakās.

Terms in the News

Featured Terms

ongaka yusuf walela
  • 0

    Terms

  • 1

    Glosāriji

  • 0

    Followers

Nozare/domēns: Education Category: Schools

elimu ya sehemu nyeti

kosa la kiaibu la tamko ambalo lilifaa kumaanisha "elimu ya umma" wakati wa udhamini uliotolewa na Wilaya ya Maeneo ya Shule za Simba ...

Līdzstrādnieks

Featured blossaries

Multiple Sclerosis

Kategorija: Health   1 20 Terms

Webholic

Kategorija: Technology   1 2 Terms

Browers Terms By Category